Monday, May 12, 2014
COCACOLA BODABODA CUP 2014 KUANZA KUTIMUA VUMBI JUNI 14 MWAKA HUU
Mkurugenzi wa Matukio wa kampuni ya Citysign Promotion & Marketing agency, Geophrey Mwangunguru akizungumza juu ya mabadiliko ya ratiba ya ligi ya soka ya Waendesha boda boda jijini Mbeya ijulikanayo kama Cocacola Bodaboda Cup 2014 ambapo sasa ligi hiyo itaanza kutimua vumbi Juni 14 mwaka huu kwa udhamini wa kampuni ya vinywaji baridi ya Coca Cola kupitia kiwanda chake cha Mbeya
Meneja masoko na mauzo wa Cocacola kanda ya nyanda za juu kusini Jayant Vekaria akikabidhi jezi kwa viongozi wa timu za madereva wa boda boda zitakazoshiriki ligi hiyo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment