Mhariri mkuu wa Lyamba Lya Mfipa Bw.Joachim Nyambo(wa pili kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Shirika la TUSHIRIKI alipotembelea ofisi za shirika hilo zilizopo Soweto jijini Mbeya.
Shirika la Tushiriki linaendesha mradi wa kuwawezesha wananchi kushiriki kikamilifu katika utunzaji wa mazingira ya misitu iliyopo pembezoni mwa mlima Rungwe.
No comments:
Post a Comment