Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Monday, August 18, 2014

NI SHIDA!!!!!!!TUKO KIKAZI ZAIDI.

Mhariri mkuu wa Lyamba Lya Mfipa Joachim Nyambo(kulia) akifuatiwa na mwandishi wa magazeti ya Mwananchi,The Citizen na Mwanaspoti mkoani Mbeya Brand Nelson na mwandishi wa Chanel Ten Rose Chapewa.Katikati wapo Solomoni Mwansele wa magazeti ya Uhuru na Mzalendo,Rashidi Mkwinda wa Majira na Charles Mwaipopo wa Baraka FM.Mwenye suti kushoto ni mkuu wa wilaya ya Chunya Deodatus Kinawiro

No comments:

Post a Comment