Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, August 15, 2014

Mbunge wa zamani asimikwa kuwa kamanda wa UVCCM kata ya Kapele


Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Mkoa wa Mbeya Aman Kajuna akimvisha Joho Aliyewahi kuwa mbunge wa Mbozi Magharibi(Sasa Momba) Eliakim Simpasa baada ya kumsimika rasmi kuwa Kamanda wa UVCCM kata ya Kapele wilayani Momba.

Simpasa ambaye hivi sasa ni Mjumbe wa halmashauri kuu CCM mkoa akitafakari jambo







No comments:

Post a Comment