Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UVCCM) Mkoa wa Mbeya Aman Kajuna akimvisha Joho Aliyewahi kuwa mbunge wa Mbozi Magharibi(Sasa Momba) Eliakim Simpasa baada ya kumsimika rasmi kuwa Kamanda wa UVCCM kata ya Kapele wilayani Momba.
Simpasa ambaye hivi sasa ni Mjumbe wa halmashauri kuu CCM mkoa akitafakari jambo
No comments:
Post a Comment