Wednesday, August 13, 2014
MILA NA TAMADUNI ZA MTANZANIA
Tanuri linalosadikiwa kuwa lilikuwa likitumiwa na wahunzi zaidi ya miaka 100 iliyopita kuyeyushia udongo wenye madini ya chuma na kisha kutuyatumia kwaajili ya kutengenezea zana mbalimbali ikiwemo silaha za jadi kwaaji ya vita vya miaka ya zamani.Mabaki ya tanuri hili la asili yapo katika moja ya mapori yaliyopo kwenye kata ya Kapele wilayani Momba mkoani Mbeya.
Mabaki ya matanuri haya yameendelea kupotea siku hadi siku.Huenda miaka kadhaa ijayo yasionedkane kabisa na watanzania wasiweze kujifunza kwa vitendo juu ya mambo ya kihistoria yaliyoachwa na mababu wa kabila la kinyamwanga hapa wilayani Momba.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment