Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Wednesday, August 13, 2014

MILA NA TAMADUNI ZA MTANZANIA


Tanuri linalosadikiwa kuwa lilikuwa likitumiwa na wahunzi zaidi ya miaka 100 iliyopita kuyeyushia udongo wenye madini ya chuma na kisha kutuyatumia kwaajili ya kutengenezea zana mbalimbali ikiwemo silaha za jadi kwaaji ya vita vya miaka ya zamani.Mabaki ya tanuri hili la asili yapo katika moja ya mapori yaliyopo kwenye kata ya Kapele wilayani Momba mkoani Mbeya. 

Mabaki ya matanuri haya yameendelea kupotea siku hadi siku.Huenda miaka kadhaa ijayo yasionedkane kabisa na watanzania wasiweze kujifunza kwa vitendo juu ya mambo ya kihistoria yaliyoachwa na mababu wa kabila la kinyamwanga hapa wilayani Momba.

No comments:

Post a Comment