Mmoja wa wajumbe wa Bunge maalumu la katiba akiserebuka katikati ya ukumbi wa bunge mara baada ya rasimu ya katiba inayopendekezwa kupita
Hii ni siku ambapo askari wa bunge walipoamua kutumia nguvu kumtoa nje ya ukumbi wa bunge mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi(Sugu) baada ya mbunge huyo kuzua tafrani ndani ya ukumbi
Hapa askari wakijaribu kumdhibiti mbunge huyo ambaye hakutii sheria ya kutoka nje kwa hiari
Wabunge wa Chadema waliotanga kuingilia sakata hilo wakidhibitiwa pia
Sijui siku hii hawa wabunge walikuwa wakimpasha nani vipande vyake ndani ya bunge
Mheshimiwa Komba akiendelea kutafakari kwa kina juu ya hoja zinazotolewa bungeni
Je unaikumbuka hii siku?Kama ndiyo utakuwa unakumbuka tatizo lilikuwa nini hapa.
Akhaaaa mi simo kabisaaaaaaa kwenye hzo serikali zenu.........Huyu ni mbunge wa Nkasi kaskazini Ally Kessy alipozongwa na wajumbe kutoka Zanzibar
No comments:
Post a Comment