Mkuu wa wilaya ya Ileje Rosemary Senyamle akimnywesha dawa mmoja wa watoto kama ishara ya kuzindua rasmi kampeni ya chanjo hiyo.
Mama wanachelewa sana hawa,watatuweka hapa mi nawaita
Oyaaaa Doktaaaaa fanya fasta njoo nipe chanjo nisepe,sikula kitu cha uji asubuhi ujue,halafu dingi anatungoja home.
Haya mpigia simu baba mwambie hata wakubwa wanapata chanjo,mwambie aje sawa eeh
Mama eti ile sindano inauma kama ile ya Ndui?Mi naogopa ujue mamaaa
Unanidanganya mamaa inaumaaa mbona wale wanalia,mi naogopaaaaa!!!!!!
Mwandishi wa habari wa kampuni ya Mwananchi Brand Nelson akiangalia kama kamera yake imepata kwa uzuri picha ya mwanafunzi huyu anaeruka sarakasi
Mganga mkuu wa mkoa wa Mbeya Seif Mhina akisakata ngoma ya asili ya kabila la wandali la wilayani Ileje maarufu kwa jina la Babaton
No comments:
Post a Comment