Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Wednesday, October 22, 2014

KAMPENI YA CHANJO YA SURUA-RUBBELA ILIVYOZINDULIWA KIMKOA MBEYA

Mkuu wa wilaya ya Ileje Rosemary Senyamle akimnywesha dawa mmoja wa watoto kama ishara ya kuzindua rasmi kampeni ya chanjo hiyo.

 Mama wanachelewa sana hawa,watatuweka hapa mi nawaita
 Oyaaaa Doktaaaaa fanya fasta njoo nipe chanjo nisepe,sikula kitu cha uji asubuhi ujue,halafu dingi anatungoja home.
 Haya mpigia simu baba mwambie hata wakubwa wanapata chanjo,mwambie aje sawa eeh
 Mama eti ile sindano inauma kama ile ya Ndui?Mi naogopa ujue mamaaa
 Unanidanganya mamaa inaumaaa mbona wale wanalia,mi naogopaaaaa!!!!!!

 Mwandishi wa habari wa kampuni ya Mwananchi Brand Nelson akiangalia kama kamera yake imepata kwa uzuri picha ya mwanafunzi huyu anaeruka sarakasi



Mganga mkuu wa mkoa wa Mbeya Seif Mhina akisakata ngoma ya asili ya kabila la wandali la wilayani Ileje maarufu kwa jina la Babaton

No comments:

Post a Comment