Kwa niaba ya jopo zima la blogu ya Lyamba Lya Mfipa
inayopatikana kwa anuani ya www.jodanyp.blogspot.com, mhariri mkuu wa LYAMBA Lya Mfipa Bw.Joachim
Nyambo anawatakia heri ya Krismasi na Mwaka mpya 2015.Tunatambua mchango wadau
wetu na tunawaahidi kuongeza ubora wa huduma zetu za uhabarishaji.
J.D.Nyambo.
Mhariri mkuu Lyamba Lya Mfipa
No comments:
Post a Comment