Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Kagwina wakifuatilia mkutano huo kwa makini
Mwakipesile ambaye ni MNEC akihutubia wananchi waliohudhuria mkutano huo kwenye viwanja vya shule ya msingi Sinde jijini Mbeya.
Wagombea wa nafasi za Uenyekiti wa mitaa katika mitaa minne iliyopo katika kata ya Sinde jijini Mbeya
Mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa mtaa kupitia
CCM katika mtaa wa Kagwina Michael Mwakasitaakiomba kura kutoka kwa wakazi wa mtaa huo.
Katika mtaa huo Mwakasita ambaye anatetea nafasi ya
uenyekiti,mgombea mwingine ni Hamis Mlaponi anayegombea kwa tiketi ya Chama Cha
Demokrasia na Maendeleo(Chadema).
No comments:
Post a Comment