Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Wednesday, May 24, 2017

KAMPENI YA UTALII KUFANYIKA JIJINI MBEYA LEO

 Afisa uhusiano mkuu wa Bodi ya Utalii nchini,Geofray Tengeneza akizungumza na waandishi wa Habari jijini Mbeya jana juu ya Kampeni ya kuhamasisha utalii wa ndani iliyopewa njina la Utalii wa ndani uanze na mtanzania mwenyewe ambayo itaendeshwa katika mikoa mine ya Kigoma,Iringa,Mbeya na Mwanza.
 Kwa mkoani Mbeya kampeni inafanyika leo latika viwanja vya chuo cha uhasibu TIA majira ya jioni. hakuna kiingilio watu nyote mnakaribishwa.

 Tengeneza anasema baada ya kampeni katika mikoa ya Kigoma na Iringa sasa ni zamu ya mkoa wa Mbeya na itamalizimia mkoani mwanza lengo likiwa ni kukutana na makundi mbalimbali ya watanzania na kuwaeleza umuhimu wa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo.

No comments:

Post a Comment