Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, May 25, 2017

YANGA WALIVYOPOKELEWA BUNGENI BAADA YA KUETEA UBINGWA VPL

 Wabunge mashabiki wa timu ya Yanga wakiwa pamoja na viongozi na wachezaji wa timu hiyo nje ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma.
 Wabunge mashabiki wa timu ya Yanga wakishika kombe pamoja na viongozi na wachezaji wa timu hiyo nje ya ukumbi wa bunge mjini Dodoma.

Wabunge mashabiki wa timu ya Yanga wakinyanyua kombe kwa furaha.

No comments:

Post a Comment