Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa Gari
aina ya Land Cruiser iliyokua imebeba wanachama kadhaa wa timu ya Simba na pia Nahodha
wa Simba Jonas Gerrard Mkude ikitokea Dodoma kuelekea Dar Es Salaam imepinduka
na kuharibika vibaya, maoneo ya Dumila.
Taarifa za awali zinadai kuwa Wanachama hao wa Simba
hali zao ni mbaya lakini mmoja wao aliyetajwa kwa jina la Shose anaeonekana katika picha mbili hapo juu amefariki dunia.
Jonas Mkude(katika picha hapo juu) yuko vizuri na yuko na majeruhi wenzake
katika hospitali ya mkoa Morogoro wanakoendelea kupata matibabu.
Hao unaowaona katika picha za juu zaidi ni Mashabiki
waliokua kwenye Magari Mengine
No comments:
Post a Comment