Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Sunday, April 21, 2013

SERIKALI MKOANI MBEYA KUPITIA OFISI YA OFISA HABARI WA MKOA IKO MBIONI KUANZISHA BLOGU YAKE ITAKAYOTUMIKA KUUJUZA UMMA JUU YA MATUKIO MBALIMBALI YATAKAYOKUWA YAKIFANYWA NA IDARA MBALIMBALI ZILIZOPO CHINI YA OFISI HIYO.HUENDA BLOGU HIYO IKAITWA MBEYA KWANZA.

No comments:

Post a Comment