Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akizungumza jambo mara baada ya kukagua shamba la mahindi la shule ya sekondari ya Kanga wilayani Chunya.Shamba hili limekuziwa kwa mbolea aina ya minjingu ambapo Kandoro aliagiza wakazi wa maeneo ya jirani wafike hapo kujifunza namna mbolea hiyo inavyofaa kwa mazao.
No comments:
Post a Comment