Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Wednesday, February 19, 2014

BIG RESULTS NOW(BRN) KATIKA KILIMO CHUNYA

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro akizungumza jambo mara baada ya kukagua shamba la mahindi la shule ya sekondari ya Kanga wilayani Chunya.Shamba hili limekuziwa kwa mbolea aina ya minjingu ambapo Kandoro aliagiza wakazi wa maeneo ya jirani wafike hapo kujifunza namna mbolea hiyo inavyofaa kwa mazao.

No comments:

Post a Comment