Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Wednesday, February 12, 2014

MAISHA HAYA MPAKA LINI?

Nyumba ya mmoja wa wakazi wa kijiji cha Wambishi kata ya Ulenje wilayani Mbeya ambaye hakufahamika jina kwani hakukutwa nyumbani kwakwe ikiwa imeezekwa nyasi na juu yake kuwekwa vumbi la mbao ili kuzuia maji ya mvua yasiingie ndani

No comments:

Post a Comment