Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Wednesday, November 19, 2014

BADO HAKUJACHANGANYA,TUNASUBIRI WATEJA WAMWAGIKE

 Baadhi ya vibanda vilivyojengwa na wafanyabiashara wadogo(Wamachinga) baada ya halmashauri ya jiji la Mbeya pembezoni mwa Bustani ya jiji vikionekana havijaanza kutumika.
 Licha ya mamlaka husika kupeleka magari madogo ya abiria maarufu kama daladala katika barabara za eneo hilo bado baadhi ya wamachinga wanasema biashara haijawa nzuri kama maeneo waliyokuwa wakifanyia shughuli zao awali



No comments:

Post a Comment