Baadhi
ya vibanda vilivyojengwa na wafanyabiashara wadogo(Wamachinga) baada ya
halmashauri ya jiji la Mbeya pembezoni mwa Bustani ya jiji vikionekana
havijaanza kutumika.
Licha ya mamlaka husika kupeleka magari madogo ya
abiria maarufu kama daladala katika barabara za eneo hilo bado baadhi ya
wamachinga wanasema biashara haijawa nzuri kama maeneo waliyokuwa
wakifanyia shughuli zao awali
No comments:
Post a Comment