Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Saturday, November 15, 2014

MAHAFALI YA KOZI YA NNE YA ASKARI WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI YALIVYOFANA

Wahitimu wa mafunzo ya awali wakipita mbele ya mgeni rasmi kwa ukakamavu kwenye mahafali yaliyofanyika katika chuo cha Magereza Kiwira kilichopo wilayani Rungwe mkoani Mbeya.






 Mgeni Rasmi Naibu waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Ame Silima akikagua gwaride la wahitimu

 Naibu waziri akikabidhi vyeti kwa wahitimu waliofanya vizuri kwenye mafunzo yao









 Kikosi cha kujihami kikiwa uwanjani tayari kuonesha namna askari wa Zimamoto na Uokoaji anavyoweza kupambana na adui pasipo kutumia silaha za moto
























 Askari wa kike akionesha umahiri wa kuvuka kutoka eneo moja kwenda jingine kwa kupita juu ya kamba











No comments:

Post a Comment