Wahitimu wa mafunzo ya awali wakipita mbele ya mgeni rasmi kwa ukakamavu kwenye mahafali yaliyofanyika katika chuo cha Magereza Kiwira kilichopo wilayani Rungwe mkoani Mbeya.
Mgeni Rasmi Naibu waziri wa Mambo ya Ndani Pereira Ame Silima akikagua gwaride la wahitimu
Naibu waziri akikabidhi vyeti kwa wahitimu waliofanya vizuri kwenye mafunzo yao
Kikosi cha kujihami kikiwa uwanjani tayari kuonesha namna askari wa Zimamoto na Uokoaji anavyoweza kupambana na adui pasipo kutumia silaha za moto
Askari wa kike akionesha umahiri wa kuvuka kutoka eneo moja kwenda jingine kwa kupita juu ya kamba
No comments:
Post a Comment