WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI AZIMIO WAKIZISUBIRI DAWATI KWA HAMU KUBWA
Hapa wakiwa wamekaa kwenye dawati hizo mara baada ya kukabidhiwa.Wameahidi kuzitunza.
Shule ya sekondari Mbeya Day imepewa
dawati 84,shule za msingi Mbata na Azimio zimepewa dawati 65 kila moja.
NMB imekabidhi msaada huo ikiwa ni
sehemu ya mchango wake katika kutatua changamoto ya upungufu wa madawati kwenye
shule mbalimbali.
No comments:
Post a Comment