Mwanafunzi
wa shule ya msingi Sisimba jijini Mbeya ambaye hakufahamika jina lake
akiendelea kuchambua daftari zake akiwa katikati ya barabara ya Acasia
pasipo hofu ya hatari ya kugongwa na vyombo vya moto huku watoto waishio
katika mazingira hatarishi wakipita na kumshangaa.
Kwa sasa barabara hii
imekuwa hatari kwa wanafunzi wa shule ya Sisimba baada ya mamlaka husika
kuruhusu mabasi madogo ya abiria maarufu kama Daladala kupita jirani na
lango kuu la shule hiyo
No comments:
Post a Comment