Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, September 2, 2011

Uturuki yamtimua balozi wa Israili

Ripoti hii haitobadili lolote katika kusuluhisha mahusiano baina ya Uturuki na Israel. Uturuki iliitaka Israili iombe msamaha kufuatia mauwaji ya wakereketwa tisa waliopanda meli kwenda Gaza kuonyesha moyo wa kuunga mkono juhudi za Palestina mwaka jana.
Ahmet Davutoglu
Waziri wa mashauri ya kigeni wa Uturuki
Ripoti ya Umoja wa Mataifa ilicheleweshwa mara tatu ili kuwapa mda waIsraili waweze kuomba radhi lakini wakashindwa kufanya hivyo.

No comments:

Post a Comment