Ripoti hii haitobadili lolote katika kusuluhisha mahusiano baina ya Uturuki na Israel. Uturuki iliitaka Israili iombe msamaha kufuatia mauwaji ya wakereketwa tisa waliopanda meli kwenda Gaza kuonyesha moyo wa kuunga mkono juhudi za Palestina mwaka jana.
No comments:
Post a Comment