Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, December 21, 2012

CCM KUMWAJIBISHA DIWANI WAKE

CHAMA CHA MAPINDUZI CCM WILAYANI MBARALI KIMESEMA KITAFUATILIA KWA MAKINI TUHUMA ZINAZOMKABILI DIWANI WA KATA YA LUHANGA BARAKA LWETEYOO MAMBOLEO NA IWAPO ATABAINIKA KUWA NI ZA KWELI ATAWAJIBISHWA KWA MUJIBU WA KATIBA YA CHAMA HICHO. TUHUMA ZINAZOMKABILI DIWANI HUYO NI PAMOJA NA KUWAGAWA WANANCHI KATIKA MAKUNDI YA WAKULIMA NA WAFUGAJI HALI INAYOCHOCHEA MIGOGORO BAINA YA PANDE HIZO PAMOJA NA KUKWAMISHA SHUGHULI ZA UWEKEZAJI KWENYE KILIMO.

No comments:

Post a Comment