Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Sunday, December 2, 2012

SAFARI YA MPENDWA WETU MAREHEMU CLEMENCE MPEPO.

Saturday, 1 December 2012

Kabla ya kuelekea Kanisani kwa ajili ya Sala ya mwisho ya kumwombea Marehemu Clemence Nurdin Lionge (Mpepo), ambaye safari yake ya mwisho mwili wake utahifadhiwa katika Nyumba yake ya milele katika Makaburi ya Segerea Jijini Dar es salaam.

Eee Mola ilaze roho ya Marehemu Clemence Mpepo mahali pema peponi Ameen.

No comments:

Post a Comment