Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Sunday, December 2, 2012

MAADHIMISHO SIKU YA UKIMWI KWA JIJINI MBEYA YALIDOROLA UTASEMA SIYO JIJINI.HAMASA NDOGO IKASABABISHA WATU WASIHUDHURIE

 Kikundi cha wauzaji wa baa mbalimbali waliopewa elimu ya kujikinga na maambukizi mapya ya Virusi Vya Ukimwi VVU na shirika la Child Suport Tanzania


 Kikundi cha vijana wa kike waishio katika mazingira magumu cha jijini Mbeya




 Kikundi cha Kihumbe cha jijini Mbeya kikitumbuiza katika uwanja wa Ruanda Nzovwe



 Waliohudhuria wakicheza kwa pamoja kujifariji kwa kufika kwao wakiwa wachache

 Meza kuu ikitafakari baada ya kubaini mahudhurio ya watu ni kidogo tofauti na ilivyotarajiwa

Shughuli ilikosa mvuto kama unavyoweza kuona hapa

No comments:

Post a Comment