Kikundi cha wauzaji wa baa mbalimbali waliopewa elimu ya kujikinga na maambukizi mapya ya Virusi Vya Ukimwi VVU na shirika la Child Suport Tanzania
Kikundi cha vijana wa kike waishio katika mazingira magumu cha jijini Mbeya
Kikundi cha Kihumbe cha jijini Mbeya kikitumbuiza katika uwanja wa Ruanda Nzovwe
Waliohudhuria wakicheza kwa pamoja kujifariji kwa kufika kwao wakiwa wachache
Meza kuu ikitafakari baada ya kubaini mahudhurio ya watu ni kidogo tofauti na ilivyotarajiwa
Shughuli ilikosa mvuto kama unavyoweza kuona hapa
No comments:
Post a Comment