ASKARI HUYU ALIKUTWA NA Lyamba Lya Mfipa akiwa amesahau wajibe wake wa kuhakikisha usalama wa raia na mali zao hasa fedha katika kituo chake cha kazi cha Benki ya CRDB tawi la Uhindini jijini Mbeya.Kwake simu ni muhimu kuliko kazi aliyopewa hapa.Namba yake iliyosomwa katika sare yake tunaihifadhi
No comments:
Post a Comment