Waziri wa Uchukuzi Djk.Harrison Mwakyembe akikata utepe kuashiria kufungua rasmi Maonesho ya biashara Mbeya(Mbeya Expo 2013)yanayoendelea katika viwanja vya kituo cha mikutano cha Mkapa jijini Mbeya.Monesho hayo yaliyoandaliwa na Chama cha Wafanyabiashara,wamiliki wa viwanda na wakulima(TCCIA) mkoa wa Mbeya yanashirikishawafanyabiashara wa ndani na wa nchi jirani ya Kenya
No comments:
Post a Comment