Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, November 28, 2013

UZINDUZI MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA MBEYA

Waziri wa Uchukuzi Djk.Harrison Mwakyembe akikata utepe kuashiria kufungua rasmi Maonesho ya biashara Mbeya(Mbeya Expo 2013)yanayoendelea katika viwanja vya kituo cha mikutano cha Mkapa jijini Mbeya.Monesho hayo yaliyoandaliwa na Chama cha Wafanyabiashara,wamiliki wa viwanda na wakulima(TCCIA) mkoa wa Mbeya yanashirikishawafanyabiashara wa ndani na wa nchi jirani ya Kenya

No comments:

Post a Comment