WAFANYAKAZI TBL WAPIMA VVU KUADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI
Wafanyakazi wa kiwanda cha bia cha kampuni ya TBL kilichopo jijini Mbeya wakiwa kwenye foleni tayari kwa kupima Virusi vya ukimwi(VVU)Zoezi la upimaji lilifanyika kwenye viwanja vya kiwanda hicho maeneo ya Iyunga
No comments:
Post a Comment