Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, December 20, 2013

MADIWANI WA CHADEMA WADAIWA KUTISHIA MAISHA YA MEYA

Baadhi ya madiwani na wafuasi wa Chadema wakijadiliano jambo nje ya jengo la ofisi za halmashauri ya jiji la Mbeya lililopo uhindini baada ya diwani mwenzao wa kata ya Ilomba Dickson Mwakilasa kuamuriwa na meya wa jiji la Mbeya Athanasi Kapunga atoke nje kwa kukiuka kanuni za kikao kubishana na meya huyo ukumbini na ndipo madiwani wenzake na wafuasi wa chama hicho wakaongozana naye kutoka hadi njeMEYA wa jiji la Mbeya Athanas Kapunga ameapa kuwafikisha katika vyombo vya sheria baadhi ya madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) waliotoa lugha za kutishia uhai wake leo kwa kumwambia wataonana yraiani kwakuwa kwenye kikao anatumia udikteta

No comments:

Post a Comment