Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, December 27, 2013

Wanahabari wakiwa katika kubadilishana mawazo ya mwisho wa mwaka walipokutana na mhariri wa Lyamba Lya Mfipa.

Mhariri mkuu wa Lyamba Lya Mfipa Bw.Joachim Nyambo(Wa kwanza kulia) akifurahia jambo na wanahabari Husna Mlanzi wa Star TV na Radio Free Africa(RFA),Brandy Nelson wa Mwananchi,Amina Saidi wa Star TV na Moses Ng'wati wa Jambo Consept. Baada ya kicheko mazungumzo yaliendelea kama hivi

No comments:

Post a Comment