Watoto wa Nguruwe wakinyonya huku wao na mama yao wakiishi katika mazingira yanayodhihirisha kuwa aliyewafuga hawajali na ndiyo sababu hakuwajengea banda bora na kuwafanya waishi kwenye tope namna hii.
Nguruwe walioachwa wakizurura hovyo katika kijiji cha Simike wilayani Mbarali.Lyamba Lya Mfipa alikutana na hali hii alipotembelea kata hiyo jana.Uchunguzi unaonesha wafugaji wengi wa nguruwe wilayani Mbarali mkoani Mbeya hawana utaalamu wa ufugaji wa kisasa wa Nguruwe na mbuzi.
No comments:
Post a Comment