Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, December 24, 2013

MBARALI WANAHITAJI ELIMU YA UFUGAJI BORA WA NGURUWE

Watoto wa Nguruwe wakinyonya huku wao na mama yao wakiishi katika mazingira yanayodhihirisha kuwa aliyewafuga hawajali na ndiyo sababu hakuwajengea banda bora na kuwafanya waishi kwenye tope namna hii. Nguruwe walioachwa wakizurura hovyo katika kijiji cha Simike wilayani Mbarali.Lyamba Lya Mfipa alikutana na hali hii alipotembelea kata hiyo jana.Uchunguzi unaonesha wafugaji wengi wa nguruwe wilayani Mbarali mkoani Mbeya hawana utaalamu wa ufugaji wa kisasa wa Nguruwe na mbuzi.

No comments:

Post a Comment