WANAWAKE WAKIWA KATIKA AJIRA YA KUKIMBIZANA NA MAGARI,KUPIGWA NA JUA NA HATA KUNYESHEWA NA MVUA WAKATI WAKITAFUTA SOKO LA MATUNDA KAMA WALIVYOKUTWA NA Lyamba Lya Mfipa LEO HII.Ni kwa muda mrefu wanawake hawa wamekuwa wakihatarisha afya na maisha yao kwa shughuli hii.
No comments:
Post a Comment