Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Wednesday, December 18, 2013

MIUNDOMBINU DUNI YA SOKO BADO NI TATIZO KWA MATUNDA YANAYOZALISHWA KATIKA KATA YA KIWIRA WILAYANI RUNGWE

WANAWAKE WAKIWA KATIKA AJIRA YA KUKIMBIZANA NA MAGARI,KUPIGWA NA JUA NA HATA KUNYESHEWA NA MVUA WAKATI WAKITAFUTA SOKO LA MATUNDA KAMA WALIVYOKUTWA NA Lyamba Lya Mfipa LEO HII.Ni kwa muda mrefu wanawake hawa wamekuwa wakihatarisha afya na maisha yao kwa shughuli hii.

No comments:

Post a Comment