Je mtoto huyu anajengewa mazingira gani kwenye
maisha ya upendo kwa binadamu wenzie.Unadhani siku akijua ukatili aliofanyiwa
nini kitajengeka kwenye fikra zake.
Waswahili husema hiari yashinda utumwa!Maisha ya
kujificha kama haya ni hatari.Hwa ndio wacha Mungu wetu wenye kufanana na
makaburi yaliyopakwa chokaa ndani yamejaa mifupa ya watu.Wanasafisha nje ya
kikombe ndani kumejaa uchafu!
No comments:
Post a Comment