Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Tuesday, June 23, 2015

Mafunzo ya uandishi wa habari za SDGs na Mabadiliko ya tabia ya nchi yaendelea

 Washiriki wa Mafunzo ya uandishi wa habari za SDGs na Mabadiliko ya tabia ya nchi wakijadili jambo kwa pamoja katika ukumbi wa Tanzania Media Fund jijini Dar es salaa.Mafunzo haya yamefadhiliwa na shirika la Reuters


 Mkufunzi Royston Martin akifuatilia jambo katika mtandao wakati mafunzo yakiendelea.

 Mhariri mkuu wa Lyamba Lya Mfipa Bw.Joachim Nyambo(Kushoto) akifuatilia jambo katika mtandao ikiwa ni siku ya pili ya mafunzo hayo.



No comments:

Post a Comment