Washiriki wa Mafunzo ya uandishi wa habari za SDGs na Mabadiliko
ya tabia ya nchi wakijadili jambo kwa pamoja katika ukumbi wa Tanzania Media Fund jijini Dar es salaa.Mafunzo haya yamefadhiliwa na shirika la Reuters
Mkufunzi Royston Martin akifuatilia jambo katika mtandao wakati mafunzo yakiendelea.
Mhariri mkuu wa Lyamba Lya Mfipa Bw.Joachim Nyambo(Kushoto) akifuatilia jambo katika mtandao ikiwa ni siku ya pili ya mafunzo hayo.
No comments:
Post a Comment