Askari wa kutuliza ghasia mkoani Mbeya wakiondoa mawe barabarani
eneo la Kabwe jijini Mbeya ambayo yaliwekwa na waendesha Bajaji wakilalamikia
kikosi cha usalama barabani kwa kuwatoza shilingi 180,000/ badala ya shilingi
30,000/ ambazo ni kwa mujibu wa sheria pindi wanakpo kutwa na makosa likiwemo
kosa la kutoa huduma ya usafiri katika barabara kuu Dar-es-salaam Zambia ambayo
hawaruhusiwi.
No comments:
Post a Comment