Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, June 18, 2015

TANZIA TANZIA TANZIA! MTANGAZAJI TBC AFARIKI DUNIA!




Mtangazaji wa TBC Florence Dyauli amefariki dunia leo asubuhi jijini DSM.

Florence ni mwandishi wa habari wa muda mrefu, alikuwa mtangazaji wa RTD sasa TBC Taifa,...Mmoja wa watangazaji waanzilishi wa TVT sasa TBC1.

Florence alisifika kwa kudhibiti matamshi ya maneno wakati akisoma taarifa za habari pia alikuwa mtangazaji mahiri kwa matangazo ya OB (Outside Broadcasting)

Mipango ya mazishi inaedelea DSM. Mungu ailaze roho ya Florence Dyauli Mahali pema peponi Amina.
 

No comments:

Post a Comment