Wakazi jijini Mbeya wakiendelea na mizunguko katika eneo la uhindini
jirani na ofisi za mamlaka ya mapato(TRA) na benki za NMB tawi la
Loleza na benki ya Stanbic.Eneo hili limekuwa hatari kwa wapita njia
kutokana na sehemu wanazopaswa kuzitumia kutumika kwa uegeshaji holela
wa magari pamoja na upangaji holela wa bidhaa za wafanyabiashara
wadogo maarufu kama Machinga
No comments:
Post a Comment