Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Wednesday, May 22, 2013

HATARIIIIIIIIIIIIIIIIIII

Wakazi jijini Mbeya wakiendelea na mizunguko katika eneo la uhindini jirani na ofisi za mamlaka ya mapato(TRA) na benki za NMB tawi la Loleza na benki ya Stanbic.Eneo hili limekuwa hatari kwa wapita njia kutokana na sehemu wanazopaswa kuzitumia kutumika kwa uegeshaji holela wa magari pamoja na upangaji holela wa bidhaa za wafanyabiashara wadogo maarufu kama Machinga

No comments:

Post a Comment