Njia za kujua kama simu.ni ya mchina ni hizi hapa:
1. Betri inajaa baada ya dakika tatu,
2. Ina TV, tochi, mswaki, kiberiti cha sigara,
3. Ndege ikipita, simu inaandika 1 MISSED CALL
4. Ukiwa karibu na jiko, inaandika CHARGER CONNECTED na
5. Ukipita karibu na mchina, inaonyesha NEW DEVICE FOUND....!
No comments:
Post a Comment