Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Friday, May 24, 2013

MASIKHARA HAYOOOOOOOOOOO

Njia za kujua kama simu.ni ya mchina ni hizi hapa: 1. Betri inajaa baada ya dakika tatu, 2. Ina TV, tochi, mswaki, kiberiti cha sigara, 3. Ndege ikipita, simu inaandika 1 MISSED CALL 4. Ukiwa karibu na jiko, inaandika CHARGER CONNECTED na 5. Ukipita karibu na mchina, inaonyesha NEW DEVICE FOUND....!

No comments:

Post a Comment