Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Monday, October 28, 2013

MAHAFALI YA 14 YA KIDATO CHA NNE KATIKA SHULE YA SEKONDARI SOUTHERN HIGHLAND YALIVYONOGA

ILIANZA KWA VIPAJI MBALIMBALI KAMA INAVYOONEKANA HAPA KIKUNDI CHA KUCHEZA NYIMBO ZA AINA MBALIMBALI KIKITOA BURUDANIWAHITIMU WA KIDATO CHA NNE KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA SOUTHERN HIGHLAND YA JIJINI MBEYA WAKICHEZA KWA PAMOJA NA WAZAZI NA WAALIKWA WENGINE KWENYE MAHAFALI YA 14 YALIYOFANYIKA KWENYE UKUMBI WA MTENDA SOWETO JIJINI MBEYA

No comments:

Post a Comment