Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Monday, October 28, 2013

MAHAFALI YA SM IHANGA YANOGA

Wahitimu wa darasa la saba katika shule ya msingi Ihanga iliyopo katika mji mdogo wa Rujewa wilayani Mbarali wakiwa katika mahafali ya nane ya shule hiyo yaliyofanyika shuleni hapo

No comments:

Post a Comment