Thursday, October 3, 2013
MWENGE WA UHURU WAKIMBIZWA HALMASHAURI YA RUNGWE
WAKAZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBEYA WAKIPUNGA MIKONO KUUAGA MWENGE WA UHURU UKIELEKEZA MBIO ZAKE WILAYANI RUNGWE
Mkuu wa wilaya ya Rungwe Chrispin Meela(kulia) akipokea mwenge wa Uhuru kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Mbeya dk.Norman Sigala tayari kuukimbiza katika halmashauri ya Rungwe na Busokelo zilizopo wilayani kwake
Mmoja wa wakimbiza mwenge kitaifa Zamda John akimvisha mhitimu wa darasa la saba katika shule ya msingi Luanda Diana Dickson skafu ya wilaya ya Mbeya kabla ya yeye kuvishwa ya wilaya ya Rungwe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment