Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, October 3, 2013

MWENGE WA UHURU WAKIMBIZWA HALMASHAURI YA RUNGWE

WAKAZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBEYA WAKIPUNGA MIKONO KUUAGA MWENGE WA UHURU UKIELEKEZA MBIO ZAKE WILAYANI RUNGWE Mkuu wa wilaya ya Rungwe Chrispin Meela(kulia) akipokea mwenge wa Uhuru kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Mbeya dk.Norman Sigala tayari kuukimbiza katika halmashauri ya Rungwe na Busokelo zilizopo wilayani kwake Mmoja wa wakimbiza mwenge kitaifa Zamda John akimvisha mhitimu wa darasa la saba katika shule ya msingi Luanda Diana Dickson skafu ya wilaya ya Mbeya kabla ya yeye kuvishwa ya wilaya ya Rungwe

No comments:

Post a Comment