Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya Ahmed Msangi
akipokea msaada wa kompyuta kutoka kwa Meneja wa benki ya Tanzania
Investiment(TIB) tawi la Mbeya kitengo cha Cooparate Finance Hemed Sabuni.Benki hiyo imekabidhi msaada wa kompyuta mbili lengo likiwa ni kushiriki kwenye uboreshaji wa utendaji kazi wa jeshi
Kamanda Msangi
akizungumza jambo mara baada ya kupokea msaada huo ambapo miongoni mwa mambo aliyoeleza ni pamoja na mapendekezo ya kufungwa CCTV nje ya majengo ya benki.
Maafisa wa benki ya TIB Hemed Sabuni na Nuru Brighton wakimsikiliza kamanda Msangi.
Maafisa wa jeshi la Polisi mkoa wa Mbeya wasikiliza kamnda wao akizungumzia msaada wa kompyuta mbili walizokabidhiwa na maafisa wa benki ya TIB.
No comments:
Post a Comment