Mbeya mjini wako 16 ambao ni Amani Kajuna,Fatuma
Kasenga,Shadrack Makombe,Stephen Makwenda,Michael Mbuza,Ibrahim Mbembela,Eliudi
Mwaiteleke,Samwel Mwaisumbe,Ulimboka Mwakilili,James Mwampondele,Charles
Mwakipesile,Nwaka Mwakisu,Aggrey Mwasanguti,Jackson Numbi,Shitambala Sambwee na
Solomoni Swilla.
Mbeya vijijini wako 12 nao ni Anderson
Kabenga,Asifiwe Ngao,Boniface Mwalyego,Dickson Simkwembe,Gordon
Kalulunga,Kassim Mzumbwe,Japhet Mwanasenga,Luckson Mwanjale,Oran Njeza,Priver
Mwakumana,Samson Nswila na Vito Mbwete.
Mbarali wamechukua 11 ambao ni Modestus
Kilufi,Michael Kalenge,Harun Mullah,Barton Kyaka,Geofray Mwangulumbi,Idd
Mtingijola,Ibrahim Mwakabwanga,Yusuph Mwaipalu,Hanji Godigodi,Gift Sefu na
Christopher Uhagile.
Rungwe jimbo la Rungwe wamechukua saba nao ni
mhandisiKigula Mwambene,Saul Amon,Frank Magomba,Obadia Ndagali,Zacharia
Mwansasu,Joel Mwalula na Richard Kasesela wakati jimbo la Busokelo wamechukua
12 nao ni Issa Mwakaendo,Ezekiel Mwakyambo,Juma Kaponda,Lusubilo Mwakabibi,Dk.Stephen
Mwakajumilo,Alley Mwakibolwa,Aden Mwakyonde,Suma Mwakasitu,Prince
Mwaihojo,Lutengano Mwalwiba,Gwakisa Mwakasendo na Atupele Mwakibete.
Ileje wamechukua sita nao ni Aliko Kibona,Godfray
Kasekenya,Janeth Mbene,Lyson Mnkondya,Willium Ndile na Marcelin Ndibwa.
Wilayani Mbozi jimbo la Mbozi wamechukua saba nao ni
Godfray Zambi,Charles Chenza,Frank Mdolo,George Mwanisongole,Mtela
Mwampamba,Ngwalanje Emmanuel na Pasa Mwamlima wakati jimbo la Vwawa wamechukua sita
nao ni Dismas Haonga,George Mwashitete,Japhet Hansunga,John Ntenga,Stanslaus
Nsojo na Tito Nduka.
Momba jimbo la Momba wamechukua 12 ambao ni Frank
Sikalengo,Dk.Lucas Siame,Hezron Sikapizye,Eliachim Simpasa,Godwin Simwimba,Tung’ombe
SikaluzweWeston Simwelu,Edward Kakwale,Leonard Simbeya,Britho Simkwai,Nicholaus
Siwinga na Elisha Siame.
Jimbo la Tunduma wamechukua walichukua sita nao ni
Alfonce Siwale,Frank Sichalwe,Agripa Senka,Shadrack Sanga,Mchungaji Adam
Simfukwe na Edson Mwakagile.
Wilayani Chunya jimbo la Lupa wamechukua saba nao ni
Peter Mwambalaswa,Haruna Mwananta,Mathew Gati,Saul Mwaisenye,Geofray
Mwakenja,Asha Ntambi na Polycap Ntapanya wakati jimbo la Songwe wamechukua
watano yaani Philip Mulugo,Noel Nkoma,Gilbert Mahenge na Reginard Msomba.
Jimbo la Kyela wamechukua watu 10 nao ni Harrison
Mwakyembe,John Mwaipopo,Leonard Mwaikambo,Gwakisa Mwandembwa,Vicent
Mwamakimbula,George Mwakalinga,Benjamin Mwakasyeghe,Gabriel Kipija,Asajile
Mwambambale na Ackim Mwakapiso.
Wagombea waliojitokeza kuchukua fomu viti maalum UWT
mkoa ni Dk.Mary Mwanjelwa,Suma Fyandomo,Tusubilege Jengela,Neema
Kasambala,Maryprisca Mahundi,Priscilla Mbwaga,Mary Mwilo,Shiza Mwakatundu,Rhoda
Mwamnyange,Joyce Mwang’onda na Cynthia Ngoye wakati waliochukua fomu za viti
maalumu walemavu mkoa wa Mbeya ni Devota Mutunyorengo na Lupi Maswanya.
Wagombea ubunge waliojitokeza kuchukua fomu viti
maalumu UWT mkoa mpya wa Songwe ni Georcoina Chaula,Zaitun Sembo,Justina
Kasunga,Juliana Shonza,Mesia Swela,Oliva Kibona,Neema Mwandabila,Isabela
Mbaya,Neema Kibona,Vick Kibona,Claudia Kitta,Stephania Luhanga na Aida Sanatu.
Waliochukua fomu za Ubunge viti maalumu UVCCM mkoa
wa Mbeya ni Chikulupi Kasaka na Kissa Kasongwa wakati mkoa wa Songwe ni Mary
Mwanisongole pekee.
Wagombea ubunge waliojitokeza kuchukua fomu viti
maalumu wazazi mkoa wa Mbeya ni Fatuma Kasenga,Gulzar Abdul na Mary Simon.
No comments:
Post a Comment