Wajumbe wa mkutano mkuuu Chadema Mbeya mjini
wakitoka nje kusubiri matokeo baada ya kupiga kura ya maoni ili kumpata
mgombea mmoja atakayekiwakilisha chama kwenye uchaguzi mkuu kwa nafasi ya
Ubunge Jimbo la Mbeya mjini.Wagombea walikuwa sita.Hapa ni katika ukumbi wa Nyerere uliopo katika Chuo kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya(MUST).
Jumla wapiga kura walikuwa 455.Kura zilizoharibika
ni 5.Matokeo kamili yalikuwa hivi.
Joseph Mbilinyi(Sugu)- kura 356
Joyce Mashine- kura 43
Tito Mwanjala- kura 18
Lazaro Mwankemwa-kura 15
No comments:
Post a Comment