da ya basi lao kukwaruzana na lori na kulazimika gari zote hizo kupelekwa katika kituo kidogo cha polisi kilichopo Tunduma.Hivi sasa unafanywa utaratibu wa kutafutiwa gari jingine.
Habari zilizoifikia LYAMBA LYA MFIPA muda mfupi ulopita zinaeleza kuwa abiria waliokuwa wakisafiri kwa basi la kampuni ya Sumry lililotoka Sumbawanga majira la saa mbili asubuhi kwenda jijini Mbeya wanaendelea kusota katika mji mdogo wa Tunduma wilayani Momba.
Inaelezwa kuwa chanzo cha abiria hao kuendelea kusota ni baa
da ya basi lao kukwaruzana na lori na kulazimika gari zote hizo
kupelekwa katika kituo kidogo cha polisi kilichopo Tunduma.Hivi sasa
unafanywa utaratibu wa kutafutiwa gari jingine.
No comments:
Post a Comment