TASISI ya kuzuia na kupambana
na rushwa(Takukuru) mkoani hapa imezindua tawi la klabu ya wapinga rushwa ya
wanafunzi wa chuo cha biashara (TIA) cha jijiji Mbeya.
Uzinduzi huo ulioshuhudiwa na LYAMBA LYA MFIPA umefanyika leo
na kamanda wa Takukuru mkoani Mbeya Daniel Mtuka ambapo amewataka wanafunzi
chuoni hapo kuitumia klabu hiyo kufichua vitendo vya rushwa vinavyofanyika
chuoni kwao.
No comments:
Post a Comment