MICHUANO ya ligi ya
Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya imemalizika kwa timu ya kata ya Halungu
kunyakua ubingwa baada ya kuifunga timu ya kataa ya Ndalambo goli 2-1.
Halungu iliibuka bingwa wa
mashindano hayo na kuzawadiwa kombe la fedha taslimu shilingi laki tatu katika
mchezo huo uliopigwa kwenye uwanja wa Vwawa ambapo hadi dakika 90 za mwanzo
zinamalizika timu hizo zilikuwa sare ya goli 1-1.
No comments:
Post a Comment