WATU 14 wakiwemo askari 10 wa jeshi la wananchi(JWTZ) wa kikosi cha 44KJ kambi yaa Mbalizi wilayani Mbeya wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani hapa kwa tuhuma za mauaji.
Kamanda wa polisi mkoani Mbeya Diwani Athuman amesema leo kuwa kushikiliwa kwa askari hao kunatokana na mauaji ya kijana Petro Sanga(25) yaliyotokea novemba 18 mwaka huu akiwa katika baa ya Power Pub ambapo askari hao wanatuhumiwa kuhusika
No comments:
Post a Comment