Karibu katika blogu hii,kuwa mmoja wa wale wanaochangia na kujivunia mafanikio yake. Tunakualika kwa mikono miwili wasiliana nasi kwa simu 0756409597 au nyambojoachim@gmail.com

Thursday, November 22, 2012

MATUKIO KATIKA PICHA

 Mkuu wa wilaya ya Mbeya Norman Sigala akiwasaidia mafundi wanaojenga daraja la Itiji jijini Mbeya kupika
 Mmiliki wa blogu ya Lyamba Lya Mfipa akifanyiwa vipimo
Mbele ni baadhi ya wabunge wa mkoani Mbeya wakiwa katika moja ya
mikutano mikubwa mkoani hapa.Kutoka kulia ni Aliko Kibona(Ileje),Mary
Mwanjelwa(Viti maalumu CCM),Mchnungaji Luckson Mwanjala(Mbeya V) na
Godfray Zambi(Mbozi Mashariki).

No comments:

Post a Comment