Habari zilizoifikia LYAMBA LYA MFIPA kutoka
mkoani Iringa zinadai kuwa watoto watatu wakazi wa Tosamaganga
wilaya ya Iringa vijijini mkoani Iringa wamekufa papo hapo baada ya
kufunikwa na kifusi wakati wakichimba mchanga ,miili ya watoto hao
imehifadhiwa kwa muda hospitali ya Ipanda kabla ya kupelekwa hospitali
ya mkoa wa Iringa kwa uchunguzi zaidi.hizi ni tetesi kutoka Iringa
No comments:
Post a Comment