OFISI ya Katibu Tawala mkoani Rukwa imefikishwa katika mahakama kuu ya kazi kanda ya nyanda za juu kusini iliyopo jijini Mbeya kwa kukiuka makubaliano ya kumlipa mtumishi madai ya malipo ya uhamisho yaliyowekwa chini ya Tume ya usuluhishi na maamuzi.
No comments:
Post a Comment