SERIKALI wilayani Rungwe
mkoani Mbeya imesema imejipanga kuhakikisha hali ya usafi wa mazingira
inazingatia katika maeneo yote wa wilaya hiyo kwa kuanza kuwawajibisha
wasiofuata utaratibu uliopo.
Mkuu wa wilaya hiyo Chrispin
Meela aliyasema hayo katika maadhimisho ya siku ya kunawa mikono duniani
yaliyofanyika kitaifa juzi katika mji mdogo wa Tukuyu wilayani hapa.
No comments:
Post a Comment